1. Matumizi ya Huduma
Romano Pay ni huduma ya kusaidia deposit na withdrawal kwa watumiaji wa 1xBet Tanzania. Mteja anatakiwa kufuata maelekezo sahihi ya huduma anayochagua.
Kwa kutumia huduma za Romano Pay, unakubaliana kufuata masharti haya pamoja na taratibu za huduma tulizoelekeza kwenye tovuti hii na mawasiliano yetu ya WhatsApp.
Romano Pay ni huduma ya kusaidia deposit na withdrawal kwa watumiaji wa 1xBet Tanzania. Mteja anatakiwa kufuata maelekezo sahihi ya huduma anayochagua.
Mteja anapaswa kutoa taarifa sahihi za muamala, ikiwemo ID ya 1xBet, jina la mlipaji, kiasi na risiti pale inapohitajika. Taarifa zisizo sahihi zinaweza kuchelewesha huduma.
Kabla ya kutuma fedha, hakikisha umetumia muhudumu sahihi na njia sahihi ya malipo. Usitume fedha kwa namba au akaunti usiyoelekezwa rasmi na Romano Pay.
Huduma zetu hufuata ratiba ya shifts zilizoainishwa kwenye tovuti. Maelekezo ya muda wa kazi yanaweza kubadilika kulingana na taarifa za wahudumu.
Mtumiaji anawajibika kuhifadhi ushahidi wa muamala wake na kuhakikisha maelezo anayowasilisha ni ya kweli kabla ya kuomba msaada au uthibitisho.
Romano Pay inaweza kuboresha au kurekebisha masharti haya wakati wowote ili kuboresha utoaji wa huduma. Toleo la hivi karibuni ndilo litatumika.